Natafuta wadau tushirikiane katika kilimo na ufugaji

Gwaje

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
299
85
Habari wadau,

Ninashamba la ukubwa wa ekari 10 lenye rutuba nzuri na yakutosha linalofaa kwa mazao kama nyanya, vitunguu, mahindi, matikiti, mapapai, machungwa na migomba. Shamba lipo kilosa morogoro. Shamba liko 5km kutoka barabara ya kilosa dumila ambayo inalami na shambani panafikika mwaka mzima.

Shamba lina vyanzo vya maji vya uhakika kwa mwaka mzima.

Nimejenga nyumba ya makazi bora hapo shambani, kuna mabanda ya kufugia mifugo kama kuku na nguruwe na hata ngombe. Sehemu ina usalama sana.

Hivyo natafuta Investor au business partner ambaye tutashirikiana pamoja.

Kwa mtu ambaye yuko serious anaweza kunitumia DM tukawasiliana
 
Habari wadau,

Ninashamba la ukubwa wa ekari 10 lenye rutuba nzuri na yakutosha linalofaa kwa mazao kama nyanya, vitunguu, mahindi, matikiti, mapapai, machungwa na migomba. Shamba lipo kilosa morogoro. Shamba liko 5km kutoka barabara ya kilosa dumila ambayo inalami na shambani panafikika mwaka mzima.

Shamba lina vyanzo vya maji vya uhakika kwa mwaka mzima.

Nimejenga nyumba ya makazi bora hapo shambani, kuna mabanda ya kufugia mifugo kama kuku na nguruwe na hata ngombe. Sehemu ina usalama sana.

Hivyo natafuta Investor au business partner ambaye tutashirikiana pamoja.

Kwa mtu ambaye yuko serious anaweza kunitumia DM tukawasiliana
Omba Mkopo kwenye taasisi za kilimo sabbu kila kitu cha kuanzaia unacho.
Business partner huoni hapo kuwa kuna mmoja atakuwa na 75% na mwingine 25%?kwa mm nahitaji ila itashindikana sabbu nataka iwe equal sharing ili usinipunje kwenye profit
 
Omba Mkopo kwenye taasisi za kilimo sabbu kila kitu cha kuanzaia unacho.
Business partner huoni hapo kuwa kuna mmoja atakuwa na 75% na mwingine 25%?kwa mm nahitaji ila itashindikana sabbu nataka iwe equal sharing ili usinipunje kwenye profit
Kuna uwezekano wa kugawana kwa usawa maana biashara ya jumla itakuwa mifugo au mazao tu. Lengo nataka kupata operation fund baada ya kufanya na wadau kwa muda flani
 
Omba Mkopo kwenye taasisi za kilimo sabbu kila kitu cha kuanzaia unacho.
Business partner huoni hapo kuwa kuna mmoja atakuwa na 75% na mwingine 25%?kwa mm nahitaji ila itashindikana sabbu nataka iwe equal sharing ili usinipunje kwenye profit
Ndg tunaweza kulima mazao 2 papai au tangawizi ndio mazao yasiyo na pressure lakini soko ni kubwa. Usiogope tunaweza weka makubaliano sawa tukafanyakazi pamoja
 
Sharing ya hivo ni nzuri but tafuta mkopo tu, Biashara itakapoenda vizuri na ikafika wakati unataka uachane na muhisani wako ili ujitegemee mambo hayataenda kama unavowaza vile kila mtu anataka pesa..

Hakikisha umepata mtu unayemuamini na mkubaliane Mtafanya huo ubia kwa muda gani..

Thank me later
 
Back
Top Bottom