Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Mimi ni mwanaume,miaka 28,mkristo na SIKO tayari kubadili dini au kuwa na ndoa ya mseto, ni mrefu, mweupe,siyo mwembamba wala mnene, elimu yangu ni chuo kikuu, nina kazi inayoniwezesha kula na kulala kwa amani. Nahitaji mwanamke mwenye upendo wa kweli, mrefu, mweupe au maji ya kunde, asiwe bonge ila awe anavutia machoni pangu ili kunitamanisha kwake muda wote. Awe na elimu kuanzia form six. Awe mtu mwenye mawazo ya kutafuta na siyo kusubiria single source ya mapato, umri wake usizidi 28, makabila ya wapenda ngoma za kila wiki mtanisamehe kwa kweli. Karibuni kwa pm ili tuweze kuwasiliana. Angalizo: nahitaji MWANAMKE si MSICHANA MKUBWA!!