Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
Ungewekaga na kapicha kidogo uzi ungenoga zaidi
 
Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
Unapatikan wap
 
Jamani wana JF,

Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya.

Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na uhusiano niliodumu nao miaka mi nne kutoweka ni swala lililoniletea msongo sana wa mawazo sababu sikua na mtu mwingine.

Ndio kutoweka sababu niligundua nimpendae ana mtu mwingine kwa kipindi cha miaka 15 sasa. Kwahiyo wakati naingia walikua wamegombana wakaamua kurudiana mwaka jana mwezi wa nne.

Nilipogundua tu sikuweza kuvumilia tena sababu uyo dada amekua karibu sana na aliekua mpenzi wangu either aliekua mpenzi wangu alishindwa kubalance kwa kuonesha dharau tofauti na alivyokua.

Lengo la kuja humu ni kutafuta mtu alie serious na mahusiano alie single kama mimi, mkristo hata kama hajaokoka tuweze kuliwazana na Mungu akipenda tuwe familia moja hapo mbeleni.

Naomba kuwasilisha.

Aliye tayari anipm.
Nitafute pm
 
NAKUSHAURI KWA NGUVU ZOTE:- Acha kutafuta mchumba kwa wakati huu. Kwanza wewe umesema umeokoka. Hujaokoka sawasawa. Usingekuja kutafuta mchumba Jf. Kama umeokoka vizuri utakuwa unasoma Biblia (Mith 19:14l inasema:- "Mke/(mume) mwema anatoka kwa Bwana Mungu sio Jf . Pili, sasa umejawa na roho ya uchungu. Hiyo ni roho kamili ya uovu. Unatakiwa ukae utulie umwombe Mungu na UMSAMEHE huyo uliyedhani atakuoa. Usipomsamehe Mungu ameshasema hatakusamehe (Mt 6:15). Kwa hiyo utaishia kupata lwachumba watakaokuumiza tu mpaka utazeeka bila kuolewa. Jichanganye na vijana wenzako kwenye makanisa mbalimbali, fanya shughuli za kijamii ukutane na watu wengi tofauti-tofauti. Huko unaweza kukutana na aliye wako
 
NAKUSHAURI KWA NGUVU ZOTE:- Acha kutafuta mchumba kwa wakati huu. Kwanza wewe umesema umeokoka. Hujaokoka sawasawa. Usingekuja kutafuta mchumba Jf. Kama umeokoka vizuri utakuwa unasoma Biblia (Mith 19:14l inasema:- "Mke/(mume) mwema anatoka kwa Bwana Mungu sio Jf . Pili, sasa umejawa na roho ya uchungu. Hiyo ni roho kamili ya uovu. Unatakiwa ukae utulie umwombe Mungu na UMSAMEHE huyo uliyedhani atakuoa. Usipomsamehe Mungu ameshasema hatakusamehe (Mt 6:15). Kwa hiyo utaishia kupata lwachumba watakaokuumiza tu mpaka utazeeka bila kuolewa. Jichanganye na vijana wenzako kwenye makanisa mbalimbali, fanya shughuli za kijamii ukutane na watu wengi tofauti-tofauti. Huko unaweza kukutana na aliye wako
Acha kumdanganya mwenzako, Mchumba anapatikana popote. Pengine mungu alishapanga mchumba atapatikana JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom