hbi
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 678
- 297
Habari yenu wanaJamii, Ninawazo lakukutana na watu ambao tutakubaliana nao kuweza kubrainstorm na kutafuta solutions ya matatizo mbalimbali ambayo yanaizunguka jamii yetu kwa ujumla. Nimetarget zaidi watu wanaotoka katika nyanja ya taaluma ya habari na mawasiliano (ICT). Kitakachofanyika baada ya watu hao kupatikana na kila mmoja kuridhia(kwa sababu hakuna mtu atakayekua anatulipa) tutaanza kupanga namna ya kukutana ili tuweze kuidentify baadhi ya problems ambazo tunaweza kutumia knowledge tuliyonayo kuprovide solutions. After that as a team kila mmoja anachangia kulingana na nyanja yake. Mfano solution ni kudevelop mobile app, kuna watu kwa ajili ya kufanya designing, mwenye kucode atacode, pia mtu kwa ajili ya documentation atafanya kazi yake nakadhalika nakadhalika. Vivo hivyo kwa solutions zozote zitakazokua zinapatikana.
Najua changamoto zitakua nyingi lakini kama nia tunayo tunaweza kufanikiwa. Napokea mawazo na michango yoyote kwa watu wenye uzoefu ili tuweze kuboresha wazo hili kwa pamoja. Kama upo tayari unaweza kuniPM ikiwa ni pamoja na mawasiliano yako ili tuweze kuwasiliana zaidi. Kwa kuanza na prefer zaidi watu waishio Dar es Salaam, ili iwe rahisi. Sehem za kukutana na kufanyia kazi jambo hili zipo, wengi wetu mtakua mmeshawai kusikia kuna sehem inaitwa KINU na nyingine ni pale COSTECH(TanzICT). Karibuni sana wadau, mawazo yenu yanahitajika sana.
Najua changamoto zitakua nyingi lakini kama nia tunayo tunaweza kufanikiwa. Napokea mawazo na michango yoyote kwa watu wenye uzoefu ili tuweze kuboresha wazo hili kwa pamoja. Kama upo tayari unaweza kuniPM ikiwa ni pamoja na mawasiliano yako ili tuweze kuwasiliana zaidi. Kwa kuanza na prefer zaidi watu waishio Dar es Salaam, ili iwe rahisi. Sehem za kukutana na kufanyia kazi jambo hili zipo, wengi wetu mtakua mmeshawai kusikia kuna sehem inaitwa KINU na nyingine ni pale COSTECH(TanzICT). Karibuni sana wadau, mawazo yenu yanahitajika sana.