Kwahiyo hautak vijana walibluntWapendwa za Jioni, natafuta vijana waliosharp kwa ajili ya kazi ya kuuza Ice cream na maji mashuleni. Mshahara ni usharp wa kijana tu. Akiuza sana na ujira utakua mkubwa pia.
Kwa aliyenaye au anamfaham mtu naomba NI PM
Mbezi ya Kimara, Dar es salaamMaeneo gani mkuu?
Dar es salaam, mbezi ya Kimaramkoa gan mkuu
Yupo ila ...now wanapatikana kigomaDar es salaam, mbezi ya Kimara