Natafuta vijana wa kazi za shambani

BILGERT

JF-Expert Member
Feb 27, 2015
6,535
10,974
Vijana wa kazi za shambani wanahitajika, wawe waaminifu.
Eneo la kazi ni Iringa, nikipata vijana watatu wanatosha.
Kazi kubwa ni kuhudumia mashamba ya maharage, kuanzia hatua ya kupanda, umwagiliaji, kuweka mbolea pamoja na kupiga dawa.
Kazi ni ya msimu wa miezi miwili.
Malazi, chakula na Afya ni juu yangu.

Mwenye uhitaji ama ndugu anaye hitaji kazi tuwasiliane PM.
Akiwa wa hapa hapa Iringa ama mikoa jirani kama Njombe, Dodoma itakuwa vizuri ili iwe rahisi kulipiwa hata nauli.
Anayetoka mbali naweza kumchangia nusu nauli.
 
Vijana wa kazi za shambani wanahitajika, wawe waaminifu.
Eneo la kazi ni Iringa, nikipata vijana watatu wanatosha.
Kazi kubwa ni kuhudumia mashamba ya maharage, kuanzia hatua ya kupanda, umwagiliaji, kuweka mbolea pamoja na kupiga dawa.
Kazi ni ya msimu wa miezi miwili.
Malazi, chakula na Afya ni juu yangu.

Mwenye uhitaji ama ndugu anaye hitaji kazi tuwasiliane PM.
Akiwa wa hapa hapa Iringa ama mikoa jirani kama Njombe, Dodoma itakuwa vizuri ili iwe rahisi kulipiwa hata nauli.
Anayetoka mbali naweza kumchangia nusu nauli.

Naondoka nyumbani kwenda kutafuta maisha, naenda Iringa kwanza. Mwenye kazi au connection tafadhali

Mkuu mimi nipo Tosamaganga hapa ndani ya Iringa, nimekucheki PM!
 
Mkuu mie naomba tenga nikufungie mfumo wa umwagiliaji wa matone kwenye shamba lako.
FB_IMG_16183380953530163.jpeg
 
Shamba lipo Iringa sehemu gani? Ifunda, Iheme, Kilolo, Kalenga au Lundamatwe?
 
Vijana wa kazi za shambani wanahitajika, wawe waaminifu.
Eneo la kazi ni Iringa, nikipata vijana watatu wanatosha.
Kazi kubwa ni kuhudumia mashamba ya maharage, kuanzia hatua ya kupanda, umwagiliaji, kuweka mbolea pamoja na kupiga dawa.
Kazi ni ya msimu wa miezi miwili.
Malazi, chakula na Afya ni juu yangu.

Mwenye uhitaji ama ndugu anaye hitaji kazi tuwasiliane PM.
Akiwa wa hapa hapa Iringa ama mikoa jirani kama Njombe, Dodoma itakuwa vizuri ili iwe rahisi kulipiwa hata nauli.
Anayetoka mbali naweza kumchangia nusu nauli.
Tupo Mkuu.
 
Vijana wa kazi za shambani wanahitajika, wawe waaminifu.
Eneo la kazi ni Iringa, nikipata vijana watatu wanatosha.
Kazi kubwa ni kuhudumia mashamba ya maharage, kuanzia hatua ya kupanda, umwagiliaji, kuweka mbolea pamoja na kupiga dawa.
Kazi ni ya msimu wa miezi miwili.
Malazi, chakula na Afya ni juu yangu.

Mwenye uhitaji ama ndugu anaye hitaji kazi tuwasiliane PM.
Akiwa wa hapa hapa Iringa ama mikoa jirani kama Njombe, Dodoma itakuwa vizuri ili iwe rahisi kulipiwa hata nauli.
Anayetoka mbali naweza kumchangia nusu nauli.
ushapata mtu wa kazi kuna dogo anataka hiyo kaz 26yrs
 
Back
Top Bottom