Natafuta Video Producer

Jazzie

Member
Jan 30, 2008
73
35
Wandugu,

Natafuta mtu yeyote ambaye yuko Bongo mwenye utaalam wa ku-shoot na ku-edit videos. Kama una background ya journalism hiyo itakuwa murua zaidi. Tafadhali wasaliana na mimi kama una utaalamu huo ili tuzungumze zaidi juu ya mpango mzima.

Kama una mifano ya kazi zako sehemu kama YouTube, Vimeo, etc tafadhali unitumie links za kazi yako.

Email yangu ni mettyn@gmail.com.
 
Naomba nikuweke wazi hizo ni kazi mbili tofauti. Unaweza kukuta kuna mtu ana vitendea vya kushoot na ni mzuri kwa kushoot lakini hafanyi editing yaani ana watu anawapa wafanye na mwingine vyote.

Ni vyema kama upo serious ukasema ni kazi gani unahitaji hiyo shooting ili mtu apate kujua ajipange kivipi?

Yote kwa yote kila la kheri katika hitaji lako.
 
Wandugu,

Natafuta mtu yeyote ambaye yuko Bongo mwenye utaalam wa ku-shoot na ku-edit videos. Kama una background ya journalism hiyo itakuwa murua zaidi. Tafadhali wasaliana na mimi kama una utaalamu huo ili tuzungumze zaidi juu ya mpango mzima.

Kama una mifano ya kazi zako sehemu kama YouTube, Vimeo, etc tafadhali unitumie links za kazi yako.

Email yangu ni mettyn@gmail.com.

...unaweza kumlipa?...una vifaa vya maana...?
 
Naomba nikuweke wazi hizo ni kazi mbili tofauti. Unaweza kukuta kuna mtu ana vitendea vya kushoot na ni mzuri kwa kushoot lakini hafanyi editing yaani ana watu anawapa wafanye na mwingine vyote.

Ni vyema kama upo serious ukasema ni kazi gani unahitaji hiyo shooting ili mtu apate kujua ajipange kivipi?

Yote kwa yote kila la kheri katika hitaji lako.

Mzee wa Rula, shukran kwa maelezo yako. Kama nilivyosema kwenye tangazo, namtafuta mtu mwenye uwezo wa kufanya vyote viwili. Kama una utaalam, nitumie PM au niandikie email kwa mazungumzo zaidi.
 
...unaweza kumlipa?...una vifaa vya maana...?

Kipaji Halisi, kama nilivyosema kwenye tangazo "Tafadhali wasaliana na mimi kama una utaalamu huo ili tuzungumze zaidi juu ya mpango mzima" Kama una utaalam, au kama unamjua mtu mwenye utaalam, let me know.
 
Mzee wa Rula, shukran kwa maelezo yako. Kama nilivyosema kwenye tangazo, namtafuta mtu mwenye uwezo wa kufanya vyote viwili. Kama una utaalam, nitumie PM au niandikie email kwa mazungumzo zaidi.
Mkuu ni kweli vifaa angalau vya kisasa ninavyo lakini sipo Dar hivyo unaweza kuendelea kutafuta mtu sahihi kwa eneo lako kisha mkaongea mkafika maelewano.
 
Mkuu ni kweli vifaa angalau vya kisasa ninavyo lakini sipo Dar hivyo unaweza kuendelea kutafuta mtu sahihi kwa eneo lako kisha mkaongea mkafika maelewano.

Kwa lengo langu, siyo lazima uwe Dar. Uko wapi kwani?
 
Kipaji Halisi, kama nilivyosema kwenye tangazo "Tafadhali wasaliana na mimi kama una utaalamu huo ili tuzungumze zaidi juu ya mpango mzima" Kama una utaalam, au kama unamjua mtu mwenye utaalam, let me know.

OK...nimekumbuka kn PM...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom