habari wadau..
huu ni mnada huru.. nahitaji tv kwa ajili ya glossary yangu inch 42 au 43..
kwa mnaouza tv.. njooni hapa mueleze una tv ya aina gani na unauzaje.. na imetumika muda gani...
ni vizuri maelezo yakawekwa hapa hapa sio pm.. ili nijiridhishe ipi itanifaaa...
angalizo sio kisa nimesema laki 6.. ndio iwe fixed hata mtu aliyekuwa na tv yake anauza laki 3... nae akapanda hadi laki 6 yangu... sema bei yako uliyopanga kuuza toka mwanzo... so wa laki 3,4,5 wote mnakaribishwa pia
transparent ni kitu muhimu kwenye biashara ya used product ndio maana pm sitaki...
na ushauri pia unakaribishwa
huu ni mnada huru.. nahitaji tv kwa ajili ya glossary yangu inch 42 au 43..
kwa mnaouza tv.. njooni hapa mueleze una tv ya aina gani na unauzaje.. na imetumika muda gani...
ni vizuri maelezo yakawekwa hapa hapa sio pm.. ili nijiridhishe ipi itanifaaa...
angalizo sio kisa nimesema laki 6.. ndio iwe fixed hata mtu aliyekuwa na tv yake anauza laki 3... nae akapanda hadi laki 6 yangu... sema bei yako uliyopanga kuuza toka mwanzo... so wa laki 3,4,5 wote mnakaribishwa pia
transparent ni kitu muhimu kwenye biashara ya used product ndio maana pm sitaki...
na ushauri pia unakaribishwa