Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 625
- 1,251
Huu ni uzi wa pili kuleta humu kuhusu hii gari, kiukweli nimevutiwa nayo kuna jamaa yangu aliibahatisha used anayo mwaka wa nne sasa haijamsumbua na inatumika kila siku kama tax,
Naomba mwenye kuelewa bei yake ikiwa mpya, lakin pia hata kama kuna mtu anayo ikiwa imetumika kidogo, japo kuna wanaosema kuwa imepitwa na wakati
naomba kuwasilisha!
Naomba mwenye kuelewa bei yake ikiwa mpya, lakin pia hata kama kuna mtu anayo ikiwa imetumika kidogo, japo kuna wanaosema kuwa imepitwa na wakati
naomba kuwasilisha!