Kiazi Kitamu
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 122
- 125
Salamu wanabodi,
Nina dada yangu nimempeleka maabara asubuhi ya leo na kupimwa mkojo na majibu kuonyesha kuwa ana kisonono (gonorrhoea) na kwa bahati mbaya ana ujauzito wa miezi 8.
Sasa je, dawa sahihi ya kuweza kutibu ugonjwa huu bila kumdhuru yeye na mtoto.
Msaada wenu ni muhimu sana.
Asante na Jumapili njema.
Nina dada yangu nimempeleka maabara asubuhi ya leo na kupimwa mkojo na majibu kuonyesha kuwa ana kisonono (gonorrhoea) na kwa bahati mbaya ana ujauzito wa miezi 8.
Sasa je, dawa sahihi ya kuweza kutibu ugonjwa huu bila kumdhuru yeye na mtoto.
Msaada wenu ni muhimu sana.
Asante na Jumapili njema.