TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau,
Nina kampuni ambayo inafanya kazi za ujenzi na decoration imesajiriwa kisheria kwa jina la Lumona Decorators and building Contractors tangu 2009 ikiwa na leseni ya class five (5).
Tunafanya ujenzi wa majengo ya aina yote hata nyumba ndogo ndogo, magodown, tailling dams, maghorofa, madaraja na barabara. Pia tunafanya marekebisho ya majengo yaliyochakaa na kubomoa majengo, ramani za majengo n.k.
Tushafanya projects nyingi za halmashauri na za kijamii mfano ujenzi wa nyumba za NSSF za bei nafuu mtoni Kijichi mwaka 2017 "Construction of affordable housing scheme phase III at Mtoni Kijichi in Temeke Municipality Lot No:10" na nyingine nyingi.
Ofisi zetu zipo mtaa wa Lumumba-Dar Es Salaam, ila hata mikoani kama una kazi ya ujenzi tunakuja.
MAWASILIANO: 0685389159
Nina kampuni ambayo inafanya kazi za ujenzi na decoration imesajiriwa kisheria kwa jina la Lumona Decorators and building Contractors tangu 2009 ikiwa na leseni ya class five (5).
Tunafanya ujenzi wa majengo ya aina yote hata nyumba ndogo ndogo, magodown, tailling dams, maghorofa, madaraja na barabara. Pia tunafanya marekebisho ya majengo yaliyochakaa na kubomoa majengo, ramani za majengo n.k.
Tushafanya projects nyingi za halmashauri na za kijamii mfano ujenzi wa nyumba za NSSF za bei nafuu mtoni Kijichi mwaka 2017 "Construction of affordable housing scheme phase III at Mtoni Kijichi in Temeke Municipality Lot No:10" na nyingine nyingi.
Ofisi zetu zipo mtaa wa Lumumba-Dar Es Salaam, ila hata mikoani kama una kazi ya ujenzi tunakuja.
MAWASILIANO: 0685389159