Innocent Henry
Member
- Oct 10, 2017
- 62
- 10
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nimehitimu masomo ya pharmacy na kufanikiwa kupata cheti cha pharmaceutical dispenser kinachotambulika na baraza la wafamasia Tanzania,
Ninatafuta kazi ya kuuza dawa au kugawa dawa kwenye pharmacy au hospital, nina uzoefu wa kutosha kwani nilishawahi kufanya kazi Geita, ila kwa sasa nipo dodoma.
Kwa mwenye uhitaji wa mtu mwenye taaluma hiyo, basi anaweza kunichek kwa namba
0652649162.
Ninatafuta kazi ya kuuza dawa au kugawa dawa kwenye pharmacy au hospital, nina uzoefu wa kutosha kwani nilishawahi kufanya kazi Geita, ila kwa sasa nipo dodoma.
Kwa mwenye uhitaji wa mtu mwenye taaluma hiyo, basi anaweza kunichek kwa namba
0652649162.