Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Habari wana jf,
Mimi ni dada, elimu yangu ni Bachelor ya Business Administration in Accounting, kwa sasa ni mwajiriwa kwenye kampuni moja kubwa tu hapa Dar kama Payroll Accountant. Mbali na kuajiriwa natafuta tenda ya kuwa nafanya malipo mbalimbali kama mishahara, Suppliers n.k either ni Online banking or otherwise kwenye kampuni,vikundi au mtu binafsi kwa bei ya kawaida kabisa kama part time....Nakaribisha maoni .....Niko serious.
Mimi ni dada, elimu yangu ni Bachelor ya Business Administration in Accounting, kwa sasa ni mwajiriwa kwenye kampuni moja kubwa tu hapa Dar kama Payroll Accountant. Mbali na kuajiriwa natafuta tenda ya kuwa nafanya malipo mbalimbali kama mishahara, Suppliers n.k either ni Online banking or otherwise kwenye kampuni,vikundi au mtu binafsi kwa bei ya kawaida kabisa kama part time....Nakaribisha maoni .....Niko serious.