natafuta tempo job

OME123

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,498
605
naombeni ushauri / msaada mwenzenu, natafuta temporary job , niko mwanza , ni mhitimu chuo kikuu cha Dar es salaam nimesomea B.COM accounting
 
Teh teh teh,mdau 2po pamoja,nami ni clas mate wako,wahanga 2po weng eeh,ucjali 2tapata mungu yu mwema,
 
lauti najua GPA yako ndogo ndo maana bado haujapata kazi au vip mwana?
 
Omunga,acha kumuumiza mwenzio. Gpa si kitu, i have a very very good gpa but cjapata kazi bado. Nmeamua kusoma master tu sasa.

Msikate tamaa, kazi mtapata tu bandugu.
 
blanda una gpa ya ngapi?na unasomea
mastring ya nini?
 
Omunga gpa c ki2,ki2 network!kuna dogo 2memaliza nae,ana 2.3 kaunganishiwa crdb ya udsm,wachache wenye gpa wamepata,ucpanic 2tapata 2,ila geuza sura na upande wa ujasiriamali bra!
 
Dah kazi ngumu this days....Kuna mwingine yuko ukui ameamua kuwa security...tena wa kwenye post za mitaroni.....na B.COM mkononi...toka amamemaliza alikuwa anasoma akiwa polisi...jeshi halijampandisha wala kumtambua...jamani..sytems hizi.
Unakujata boss wako ni f4 tu sasa wewe una B.COM..utapita wapi....duuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom