Codename96
Member
- Sep 17, 2020
- 90
- 85
Nianze kwa kuwaomba radhi mods na watu wengine ntakaowaudhi kwa kupost hapa.
Nimewaza sana jukwaa sahihi la kupost hii thread ila nimekosa. Nikaona nipost hapa nikiamini kuna watu wa kunisaidia.
Natafuta team ya Basketball, ambayo ntafanya nayo mazoezi na hatimaye niwe mmoja wa wachezaji wao tushiriki mashindani ya RBA au mengine makubwa. Kwa kuwa mimi nipo Temeke, ntashkuru sana kama training court ya hiyo team ntakayotajiwa itakuwa Temeke.
Asanteni.
Nimewaza sana jukwaa sahihi la kupost hii thread ila nimekosa. Nikaona nipost hapa nikiamini kuna watu wa kunisaidia.
Natafuta team ya Basketball, ambayo ntafanya nayo mazoezi na hatimaye niwe mmoja wa wachezaji wao tushiriki mashindani ya RBA au mengine makubwa. Kwa kuwa mimi nipo Temeke, ntashkuru sana kama training court ya hiyo team ntakayotajiwa itakuwa Temeke.
Asanteni.