Natafuta tani 50 za Mianzi (Bamboo)

jajcom

Senior Member
Jan 4, 2013
125
191
Habari wadau,
Natafuta zaidi ya tani 50 za mianzi (Bamboo) kutoka sehemu yoyote Tanzania Bara. Kwa mwenye kujua mianzi inapatikana wapi kwa wingi niko tayari kuifata hasa kwa maeneo ya Dar es salaam, Pwani, Tanga, Morogoro na maeneo jirani.

Nahitaji kwa matumizi yangu binafsi na niko tayari kusafirisha mwenyewe na kuomba vibali kutoka maliasili.

IMG-20161223-WA0050.jpg


Mwenye kufahamu inapopatikana naomba anijuze.
 
Hivyo vijiji vinapatikana wilaya gan?
Wilaya ya iringa vijijini, kuanzia Kitwiru, Tanangozi, Ihemi, ifunda hadi Mufindi pale. Tafuta contact za watu kule. Maana nahisi wenye mianzi huwa wanahangaika sana pa kupeleka, mara waichome moto. Ni vurugu tupu. Inatafuna sana rutuba ingawa kwao faida ni ile pombe.
 
Wilaya ya iringa vijijini, kuanzia Kitwiru, Tanangozi, Ihemi, ifunda hadi Mufindi pale. Tafuta contact za watu kule. Maana nahisi wenye mianzi huwa wanahangaika sana pa kupeleka, mara waichome moto. Ni vurugu tupu. Inatafuna sana rutuba ingawa kwao faida ni ile pombe.
Mkuu nashukuru sana, Naweza kupata mawasiliano ya mkazi wa hayo maeneo?
 
Mkuu tani unanuaje. Mi nipo iringa wilaya ya kilolo. Mianzi ipo mingi ila ni si ndefu kama kwenye picha. Nijuavyo mimi kuna aina zaidi ya 2000 za mianzi. Je mianzi ya iringa itakufaa?
 
Mkuu tani unanuaje. Mi nipo iringa wilaya ya kilolo. Mianzi ipo mingi ila ni si ndefu kama kwenye picha. Nijuavyo mimi kuna aina zaidi ya 2000 za mianzi. Je mianzi ya iringa itakufaa?
Nahitaji mianzi kama inayoonekana hapo juu kwenye picha. Unaweza kuipiga picha unitumie niione.
Kuhusu gharama inategemea na eneo inapopatikana na urahisi wa usafiri
 
Back
Top Bottom