Mkuu tangazo lako halijakamilika, sema utakuwa unahitaji kuku wangapi kwa kipindi gani na offer yako ya bei kwa kuku mmoja unatoa sh ngapiNatafuta mfugaji wa kuku wa kisasa ambaye tutafanya biashara. Nahitaji kuku kwa wingi! Mwenye nao tafadhali tuwasiliane.
Location awe Dar es Salaam!
Ok ngoja nikupe konectionNataka kuku 500 kwa week offer 5,500- 5800 per kuku!
Ok ngoja nikupe konectionNataka kuku 500 kwa week offer 5,500- 5800 per kuku!
Nitawafuata mwenyewe uzito usipungue
Nichek pm mkuuNatafuta mfugaji wa kuku wa kisasa ambaye tutafanya biashara. Nahitaji kuku kwa wingi! Mwenye nao tafadhali tuwasiliane.
Location awe Dar es Salaam!
Capacity: 500 pcs per week
Uzito: 1+KG
Bei elekezi: 5,500-5,800
Yap kwa hidadi hii na iyo offer yako kwakweli ni bei nzuri.Nataka kuku 500 kwa week offer 5,500- 5800 per kuku!