Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Habari wanajamvi,nina mpango wa kusajili kampuni ya money transfer itayodili na mpesa na mitandao mingine,shida yangu ni kwamba sina mtaji wa kuanzia,je,nikienda benki naweza kupata bila shida kwa kutegemea na idea yenyewe,pia nafanya process zipi?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums