Natafuta soko la mafuta ya ubuyu na asali popote pale ndani na nje ya Tz

DullyJr

JF-Expert Member
Apr 10, 2011
13,979
11,815
Jaman wadau mm ni kijana nimeamua kujiajiri ktk biashara ya kuuza mafuta ya ubuyu na asali,
kwa yeyote anayejua soko la hii kitu lilipo msaada tafadhari!
Hali ya ajira na maisha ni ngumu jamani tushirikiane kupambana nayo
 
Mimi nayahitaji mafuta ya ubuyu ila nijulishe matumizi yake.Nimesikia ni dawa.Je inatibu nini?Utujulishe nifungue soko
 
Mkuu Lidaku unauza kwa jumla ama kwa rejareja? Kama ni kwa jumla ni PM nikuunganishe na wateja faster.
Hizo ni bidhaa zinazouzika usiwe na shaka.
 
Sasa huyu Lidaku tangu ameposti hii kitu hii hajarudi tena kutujibu.Labda hayuko siriasi na hiyo biashara.
 
Naona jamaa alibip sasa ngoja mie nipige. Mie ninayo nauza 40,000 kwa lita 1. My number is 0713 067 577 karibuni sana i see
 
Kuna yeyote anaefahamu jinsi mafuta ya ubuyu yanavyotengenezwa??
Malila pitia hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kuna yeyote anaefahamu jinsi mafuta ya ubuyu yanavyotengenezwa??
Malila pitia hapa.

Baada ya tunda la ubuyu kukobolewa na mashine unapatikana unga nao ni dawa, ndipo zile mbegu za ubuyu hukamuliwa na kupatikana mafuta ya ubuyu...fika railways gerezani kota nyumba namba 5, kuna duka la haya mafuta pamoja na asali mbichi, nimeishawahi yanunua hapo..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lidaku unauza kwa jumla ama kwa rejareja? Kama ni kwa jumla ni PM nikuunganishe na wateja faster.
Hizo ni bidhaa zinazouzika usiwe na shaka.

Mkuu hapa ninayo mafuta hayo kwa bei ya jumla na rejareja. Kwa wanaohitaji wani-PM faster..
 
Kuna yeyote anaefahamu jinsi mafuta ya ubuyu yanavyotengenezwa??
Malila pitia hapa.

Sijabahatika kuona yanavyokamuliwa, ila kwa kuwa yanatokana na mbegu, bila shaka yatakuwa yanakamuliwa kama alizeti. Mkuu Narubongo aliwahi zungumzia hili jambo kama sijakosea. ngoja nimsake kwa Pm ili aje na majibu.
 
Jaman wadau mm ni kijana nimeamua kujiajiri ktk biashara ya kuuza mafuta ya ubuyu na asali,
kwa yeyote anayejua soko la hii kitu lilipo msaada tafadhari!
Hali ya ajira na maisha ni ngumu jamani tushirikiane kupambana nayo

Siku nyingine inabidi ujaze nyama tangazo lako. Hujasema unaweza kuingiza sokoni kiasi gani, hujasema bei yako na location ulipo au ilipo mali, je hiyo asali ni ya nyuki gani, wadogo au wakubwa na je ni mbichi na je tayari umesha-park. Kizazi cha sasa kinataka kila kitu kiwe peupe.
 
Thailand wao wanauza ukwaju kama ulivyo toka mtini na kuuhifadhi ktk ma-box ya viwango vya kimataifa kwa uuzaji wa rejareja bara la Ulaya na Marekani.

Hata wewe mdau ungeweza kufungasha ubuyu-ghafi ktk vifuko vya plastiki na kuhifadhi ktk maboski yenye viwango vya kimataifa kwa ajili ya uuzaji wa rejareja ktk maduka na masupamaketi badala ya kwenda mbali kupata mafuta ya ubuyu.
 
Sijabahatika kuona yanavyokamuliwa, ila kwa kuwa yanatokana na mbegu, bila shaka yatakuwa yanakamuliwa kama alizeti. Mkuu Narubongo aliwahi zungumzia hili jambo kama sijakosea. ngoja nimsake kwa Pm ili aje na majibu.

any feedback? au ulimkosa?
 
Kuna yeyote anaefahamu jinsi mafuta ya ubuyu yanavyotengenezwa??
Malila pitia hapa.

Ubuyu mbegu zake ni nut kama ilivyo mchikichi nk. So jinsi ya ukamuaji ni kwa; kwanza ubuyu (tunda) lenyewe kuvunjwa, kutolewa ubuyu (unga) wake, kuutenga na mbegu na unga unakwenda kwenye process nyingine za kuchekechwa ili kutoa nyuzinyuzi n.k. Mbegu za uzalishaji mafuta hutoka zikiwa safi na huinguzwa kwenye mashine ya kukamulia na kuchuja vipande vidogovidogo(particles) na baadae hufungashwa (packed). Mafuta ya ubuyu kitaalamu hayatakiwi kufanyiwa refining zaidi ya kuchuja uchafu tu.
 
Ubuyu mbegu zake ni nut kama ilivyo mchikichi nk. So jinsi ya ukamuaji ni kwa; kwanza ubuyu (tunda) lenyewe kuvunjwa, kutolewa ubuyu (unga) wake, kuutenga na mbegu na unga unakwenda kwenye process nyingine za kuchekechwa ili kutoa nyuzinyuzi n.k. Mbegu za uzalishaji mafuta hutoka zikiwa safi na huinguzwa kwenye mashine ya kukamulia na kuchuja vipande vidogovidogo(particles) na baadae hufungashwa (packed). Mafuta ya ubuyu kitaalamu hayatakiwi kufanyiwa refining zaidi ya kuchuja uchafu tu.

thanx, nahitaji kilo ngapi za ubuyu kupata mafuta lita moja?
 
Back
Top Bottom