Habai wakuu
Natafuta soko la chainizi kwa wenye kuhitaji shamaba lipo Morogoro, Berega ,na Nalenga kupata wateja toka sehemu za jirani kama Singida, Dar, Dodoma na Morogoro Mjini. Shambani panafikika kiurahisi maana lipo jirani na Barabara Kuu ya Dodoma
Nina uwezo wa kuvuna gunia mbili za chainizi
Ndoo mbili za nyanya chungu
Pilipili hoho ndoo kubwa kwa kila siku
Namba yangu ni 0684738720
Karibuni sana
Natafuta soko la chainizi kwa wenye kuhitaji shamaba lipo Morogoro, Berega ,na Nalenga kupata wateja toka sehemu za jirani kama Singida, Dar, Dodoma na Morogoro Mjini. Shambani panafikika kiurahisi maana lipo jirani na Barabara Kuu ya Dodoma
Nina uwezo wa kuvuna gunia mbili za chainizi
Ndoo mbili za nyanya chungu
Pilipili hoho ndoo kubwa kwa kila siku
Namba yangu ni 0684738720
Karibuni sana