ipo nokia lumia 800 mkuu kwa laki 300,000 tu bado iko fresh imetumika one month...
Me nasaka catrage ya hP 383,nimeisaka kariakoo yote nineikosa
Habari wana jamii natafuta simu aina ya Tecno M7 au M5 naweza pata kwa 250,000/-?
Phantom A na M7 ipi vizuri zaidi?
ipo nokia lumia 800 mkuu kwa laki 300,000 tu bado iko fresh imetumika one month...
pana lumia 520. used for three weeks..inakuja na box na accessories zake zote..bei laki tatu