EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
hapo ndipo ulipokosea mdogo wangu, kwa hapo dar huwezi pata nafasi kwasababu watu ni wengi alafu wengi wana uzoefu, nenda mkoani,Nipo dar
hapo ndipo ulipokosea mdogo wangu, kwa hapo dar huwezi pata nafasi kwasababu watu ni wengi alafu wengi wana uzoefu, nenda mkoani,Nipo dar
Kuna ubaya kupima oil ila pole sana kila siku uwe unakuja kwenye goli langu la chips hapa mkabala na stendi ya makumbusho kupata chakula.Tatizo kila mwanaume anataka Kwanza kabla ya ndoa
Halooo tatizo lako limekwisha.Habari zenu jamani, hakika Dunia tambalabovu niukweli kwamba maisha yamenipiga nimepigika nipo chapachapa. Hivyo ninaomba kwaanaeweza kunisaidia Nipate shule yoyote ya kujitolea sitaki kulipwa hata sent chamsingi Nipate chakula cha mchana tu jioni nitapiga pasi ndefu.
Mimi nimuhitimu wa chuo cha kati chuo cha ualimu tabora nimesomea ngazi ya stashahada masomo ya physics na mathematics.
Kwa yeyote mwenye mchongo anisaidie imefika wakati natembea njiani huku naongea pekee angu kwa msongo wa mawazo, na njaa inavyonitandika. Asante
Shule ganiHalooo tatizo lako limekwisha.
Wasiliana nami nikupe connection, hata ukitaka uanze kesho. Ni wewe mwenyewe tu
Kwani unachagua shule?Shule gani