Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,435
- 19,452
Pole sana ila mwisho wa siku huwa, mkishatoka kazini hamchelewi kwenda idara ya kazi na kusema hata mshahara nilikuwa sipewi..., yaani mlo mmoja tu na kulazwa sebuleni, wala mkataba sikupewa
Hivyo Nadai madai ya mishahara yangu yote (miaka kadhaa); likizo; overtime, n.k. n.k.