Natafuta shule ya Advance, Private iwe ya bweni na yenye combination ya HGL

Hayangeee

Member
Apr 18, 2014
6
3
Habari zenu wadau, mimi ni mkazi wa Dar, nahitaji shule ya advance iliyo mkoani tofauti na Dar yenye unafuu wa gharama. shule iwe ya bweni (boys) au (mchanganyiko). Combination ni HGL.
Nitashukuru sana, kama nitapewa na mawasiliano.
Ahsante.
 
Umepata Mkuu ipo Morogogo mjin ni bonge LA Shule inaitwa Alfagems secondary ni Private, day na bweni, olevel na advance, ada ni nafuu Sana na inafanya vzr Moro,
Kwa mawasiliano piga 0732-931605
Au website www.alfagems.com
 
Asikuzingue Mkuu Alfa Gems Usahil Umeshafanyika Na Waun Wanakalibia Anza Pind N Kwel Mkal Shule Nzur Ad Laki 4 Na 80 Tu Unaweza Shangaa Lakn Akuna Anayepata Four Apo Umefel Na Utachekwa Umepiga 3 Tafuta Tokeo Lake Uchek Nisikumalizie Utamu Ila Kupata Chance Kwa Sasa Labda Kwa Majamaa Ambao Watashndwa Kulipot Ndo Upewe Wai Mor Ujalibu Baat Yako
 
Habar, mkuu kwa hiyo combinations shule ipo na ada yake ni nafuu sana kwa mwaka Nipm kwa maelezo zaid
 
Karibu Mbozi mission high SCHOOL, Ni shule ya day na boarding inachukua wanafunzi wa combinations za HGL, HGK NA HKL, ni shule ya kikristo na inatoa huduma pasipo na kubagua dini, ada yake ni nafuu kwa maelezo zaid npm
 
Habari zenu wadau, mimi ni mkazi wa Dar, nahitaji shule ya advance iliyo mkoani tofauti na Dar yenye unafuu wa gharama. shule iwe ya bweni (boys) au (mchanganyiko). Combination ni HGL.
Nitashukuru sana, kama nitapewa na mawasiliano.
Ahsante.
jaman hizo comb mkopo hakuna hata ajira zake noma mbona mnazingangania?
 
Back
Top Bottom