Mkuu, kama upo Dar fuata ushauri wa LAT, mwenge via posta njia nzuri gari haichoki na hesabu inaingiaWanaJf nimebarikiwa kununua minibus aina ya Isuzu Journey imesajiliwa,full ac,radio unaweza pia kutumia flash,ipo kwenye hali nzuri nilitaka kuifanya daladala ila naona ntasumbuana na madereva,tafadhali kama kuna ambaye ana hitaji hilo naomba anijulishe.