Wakuu natafuta shamba mkoa wa pwani ambalo litakidhi vigezo vifuatavyo:
1. Kuanzia heka 1 mpaka 5
2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo
3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au bagamoyo bypass (barabara mpya ya bagamoyo)
4.miundo mbinu muhimu kama barabara, maji na umeme iwe inapatikana,
5. Eneo lisiwe na mgogoro, au mlolongo wowote.
6. Liwe linafaa kwa ufugaji, kilimo, na uwekezaji wa kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya kilimo.
7. Bei ya kizalendo kwa mtanzania kijana anataka kujiajili
8. Uwe tayari kuhakiki matumizi ya hiyo ardhi kwenye ofisi husika za ardhi
Kwa watu serious tu, nipigie kwa namba 0736123488
1. Kuanzia heka 1 mpaka 5
2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo
3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au bagamoyo bypass (barabara mpya ya bagamoyo)
4.miundo mbinu muhimu kama barabara, maji na umeme iwe inapatikana,
5. Eneo lisiwe na mgogoro, au mlolongo wowote.
6. Liwe linafaa kwa ufugaji, kilimo, na uwekezaji wa kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya kilimo.
7. Bei ya kizalendo kwa mtanzania kijana anataka kujiajili
8. Uwe tayari kuhakiki matumizi ya hiyo ardhi kwenye ofisi husika za ardhi
Kwa watu serious tu, nipigie kwa namba 0736123488