Natafuta shamba pwani

POTUS

Member
Nov 11, 2012
8
4
Wakuu natafuta shamba mkoa wa pwani ambalo litakidhi vigezo vifuatavyo:

1. Kuanzia heka 1 mpaka 5

2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo

3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au bagamoyo bypass (barabara mpya ya bagamoyo)

4.miundo mbinu muhimu kama barabara, maji na umeme iwe inapatikana,

5. Eneo lisiwe na mgogoro, au mlolongo wowote.

6. Liwe linafaa kwa ufugaji, kilimo, na uwekezaji wa kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya kilimo.

7. Bei ya kizalendo kwa mtanzania kijana anataka kujiajili

8. Uwe tayari kuhakiki matumizi ya hiyo ardhi kwenye ofisi husika za ardhi

Kwa watu serious tu, nipigie kwa namba 0736123488
 
mkuu
Wakuu natafuta shamba mkoa wa pwani ambalo litakidhi vigezo vifuatavyo:

1. Kuanzia heka 1 mpaka 5

2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo

3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au bagamoyo bypass (barabara mpya ya bagamoyo)

4.miundo mbinu muhimu kama barabara, maji na umeme iwe inapatikana,

5. Eneo lisiwe na mgogoro, au mlolongo wowote.

6. Liwe linafaa kwa ufugaji, kilimo, na uwekezaji wa kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya kilimo.

7. Bei ya kizalendo kwa mtanzania kijana anataka kujiajili

8. Uwe tayari kuhakiki matumizi ya hiyo ardhi kwenye ofisi husika za ardhi

Kwa watu serious tu, nipigie kwa namba 0736123488
mkuu umefanikiwa kupata ardhi husika? mimi pia ni mhitaji
 
Karibuni
14EA9845-C3F2-46F4-A8D5-215F156D0DF6.jpg



๐—ข๐—™๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—š๐—ช๐—”๐—ญ๐—”

๐—ข๐—™๐—” ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ผ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฒ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—ต๐—ถ ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ

๐—–๐—ฎ๐—น๐—น/๐˜„๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐Ÿฌ๐Ÿณ๐Ÿด๐Ÿฒ๐Ÿฒ๐Ÿญ๐Ÿญ๐Ÿฌ๐Ÿญ๐Ÿฐ/๐Ÿฌ๐Ÿณ๐Ÿญ๐Ÿฎ๐Ÿฏ๐Ÿณ๐Ÿฒ๐Ÿด๐Ÿต๐Ÿด

๐—›๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐Ÿญ ๐—ง๐˜€๐—ต ๐Ÿฏ,๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ,๐Ÿฌ๐Ÿฌ๐Ÿฌ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐Ÿญ ๐˜๐˜‚ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐Ÿฏ ๐—บ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ ๐—บ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ


๐—ž๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฒ ๐—ป๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚
 
Wapigie hawa watakusaidia ni kampuni inayouza VIWANJA na MASHAMBA BAGAMOYO ambayo VIWANJA vyao VIMEPIMWA hii kampuni IPO pale mwenge stand ya daradara ziendazo BUNJU kampuni inaitwa SALVAGE COMPANY LIMITED ni waaminifu Sana wapigie kwa +255717134733 waambie namba nimepewa na Mzee wa masaki KWANI Hata mimi ni mteja wao mkubwa sana ....ukitaka kujilidhisha unaweza kufika ofisini Kwao PIA.
 
Wakuu natafuta shamba mkoa wa pwani ambalo litakidhi vigezo vifuatavyo:

1. Kuanzia heka 1 mpaka 5

2. Liwe wilaya ya kibaha, chalinze au bagamoyo

3. Karibu na barabara ya lami ya morogoro, au bagamoyo bypass (barabara mpya ya bagamoyo)

4.miundo mbinu muhimu kama barabara, maji na umeme iwe inapatikana,

5. Eneo lisiwe na mgogoro, au mlolongo wowote.

6. Liwe linafaa kwa ufugaji, kilimo, na uwekezaji wa kiwanda kidogo cha kuchakata mazao ya kilimo.

7. Bei ya kizalendo kwa mtanzania kijana anataka kujiajili

8. Uwe tayari kuhakiki matumizi ya hiyo ardhi kwenye ofisi husika za ardhi

Kwa watu serious tu, nipigie kwa namba 0736123488

Funga safari nenda mahali usika unataka kaonane na mtendaji ofisini kwake
Utapewa Maelezo na bei nzuri tu na mikataba ya serikali kabisa.
Huku unaweza elekezwa mtu anayeuza na bei zao huwa ni laki 3/5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom