Rose Can AVENUE
Member
- Dec 1, 2019
- 42
- 13
Hata wewe unaweza fafanuaHusika na kichwa cha ujumbe.
Ninataka kununua shamba ifikapo Desemba. Napendelea Mkoa wa Pwani. Wilaya ya Kibaha, Chalinze au Mlandizi.
Bajeti yangu ni 200,000 per acre.
Karibuni.