Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda mbalizi kodi mashamba,heka inacheza 100000.Utalima mahindi mweziu wa 11.utayahudumia mwezi wa 3 utapukutisha majani yote na kuacha muhindi yakauke kisha utapanda maharage.kilimo kimoja amaizing.Nenda mbalizi utapata connection kulekuleWadau hamjambo, nataraji kujiunga na masomo Saut Mbeya, ila nataka pia kujishughulisha na kilimo hasa maharage, mwenye uelewa wa namna ya kupata mashamba ya kukodi plz anijuze
Mkuu nipo impressed na Mbalizi. Ni umbali gani toka Mbeya mjini? Gharama zikoje km kukodi chumba cha kusimamia wakati wa kilimo?Nenda mbalizi kodi mashamba,heka inacheza 100000.Utalima mahindi mweziu wa 11.utayahudumia mwezi wa 3 utapukutisha majani yote na kuacha muhindi yakauke kisha utapanda maharage.kilimo kimoja amaizing.Nenda mbalizi utapata connection kulekule
Tafute chumba cha ten kama huna vitu vya thamani sana,unaweza ingia ndani ndani ukafanya kazi zako kwa amaniSh 800 nauli toka mjini.Mwezi wa kupanda mahindi 11-12,maandalizi ni sasa.mbalizi ni mjini kabisa.Utapiga ndege wawili kwa mpigo.Tafuta watu wa mbalizi wakutafutie mashamba.Kule alizeti ndo kwake.