Natafuta shamba la heka 10,000 - 25,000 maeneo ya mkoa wa pwana, tanga na morogoro

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
212
Wakuu linahitajika shamba la ukubwa chini heka 10,000 wa juu uwe heka 25,000 ni offer imeletwa ofisin kwangu wanunuaji wako serious tayari wamenunua katika maeneo mengine bado katika maeneo niliyoyataja. shamba liwe na mto katikati umeme na liwe linatambulika kisheria yaani watu aridhi . kwa aliyenalo nitafute niletee nyaraka na site plane ya eneo hilo nikuunganishe na mnunuzi. tuwasiliane 0657 14 5555. 0778 625 039, au 0686 200 117 na 0755 099 291
mimi ni commission agent.
 
Wakuu linahitajika shamba la ukubwa chini heka 10,000 wa juu uwe heka 25,000 ni offer imeletwa ofisin kwangu wanunuaji wako serious tayari wamenunua katika maeneo mengine bado katika maeneo niliyoyataja. shamba liwe na mto katikati umeme na liwe linatambulika kisheria yaani watu aridhi . kwa aliyenalo nitafute niletee nyaraka na site plane ya eneo hilo nikuunganishe na mnunuzi. tuwasiliane 0657 14 5555. 0778 625 039, au 0686 200 117 na 0755 099 291
mimi ni commission agent.
Umepata au bado unahitaji
 
Back
Top Bottom