Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Waanzilishi wa dini ulimwenguni (KANISA KATOLIKI) ni wabobevu katika haya masuala kuna vitabu vipatavyo tisa (9) vya Mungu ambavyo nimevipata viliondolewa katika Bible navipitia sasa hakika kuna mambo ya kushangaza na nina habari vipo vingine maelfu ambavyo haviko published mtandaoni vinapatikana katika Library ya mambo ya historia ya ukristo mjini Roma.
Hawa watu wanajua kinaganubaga kwanini wameruhusu hadi unywaji wa pombe kwa kiasi kwa kuzingatia Misingi ya ukristo,nakupa mfano wakristo wote kasoro madhehebu machache tunakunywa " Mvinyo" Divai kama inshara ya damu ya Yesu ila tunakunywa kwa kiasi.
Umeanza kwa kuniambia "Uraibu" ni neno la kiarabu sipingi kwa kuwa kiswahili kina maneno mengi ya lugha mbalimbali ikiwemo kireno tuna neno "Gereza" ni kireno na mengine mengi.
UMEULIZA SWALI ZURI SANA KUWA POMBE NAYOIHALALISHA HAINA URAIBU? jibu inawo uraibu ndio maana tunatakiwa tuinywe kwa kiasi, Sukari ina uraibu ambayo (Unaitumia kila siku), Kuendesha gari kuna uraibu, Kusoma sana kuna uraibu, JAMBO LOLOTE LINA URAIBU.
Sasa basi kwa kumalizia haka kamjadala nilikuuliza Swali lakini haukunijibu ukafunika tafdhali naomba unijibu.
Wewe haujawahi kuzini, je wewe haujawahi kuiba, je wewe haujawahi kula samaki wasio na magamba (kambare na ndugu zake), je wewe haujawahi kula wanyama wasio na kwato ambazo hazijagawanyika au wasio cheuwa?
Kama hivyo vitu hujawahi kuvifanya "HAKI YA MUNGU NAKUWA MUISLAMU NAKUPA MAWASILIANO YANGU UNIPELEKE KWA SHEIKH NIKASILIMU NA UNIREKODI KAMANDA NABADILI DINI"
Ila kama umewahi kufanya Unakula Samaki wasio na magamba na wanyama wengine waliokatazwa ila nguruwe humtaki basi wewe ni "MNAFIKI" na wanafki ni walioongoka
Mkuu, mimi naona unatafuta njia ya kubadilisha mjadala tu, kwani mjadala mkuu ni uharamu na madhara ya kula nyama ya nguruwe basi.
Nashangaa umeugeuza huu mjadala kuwa mahakama ya kuhukumu makosa,.sasa kama nilitenda au sijatenda au wewe kufanya au kutofanya hayo makosa hiyo inabatilisha vipi uharamu wa kula nyama ya nguruwe ??--- ukweli utabaki palepale kwamba Mungu katukataza kula nyama ya nguruwe kwa sababu inayo madhara mabaya kwetu ("acute diverse effects"). na moja ya madhara ni kuambukizwa "USHOGA" homo-sexuality kwa wanaume.