Dripboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 3,178
- 4,602
Mokaze unahabari potofu kumuhusu nguruwe hana madhara sijui ya ushoga n.kMkuu Loxodona, unaweza kuona hichi ninachosema kama mzaha, lakini hakika siyo mzaha na wala kusudi langu si kukejeli wale wanaokula kitimoto kusudi ni kuwajuza with due respect juu ya hatari inaweza kuwakumba "in the long run"--- Mungu kukataza kula kitimoto kuna hekima kubwa na hiyo ndiyo hekima yake mkuu.
🙏🏻🙏🏻
Ngozi ya nguruwe hutumika kama gamba la Capsules mbalimbali ikiwemo Amoxyline na dawa zinazofanana nazo yani kama wewe umeshawahi kumeza dawa yenye gamba basi nguruwe umemla.
Na kuna tafiti inaendelea UK na Russia ziko katika hatua za mwisho za nguruwe kutumika kutibu Brain cancer na breast cancer sasa sijui mtafanyaje kama tu kwenye vidonge mnamla