SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,748
Umesema kweli.We mtoto ni mpumbavu Sana.
Samahani lakini Bado una utoto mwingi sana. Duniani unapendwa na wewe tu. Narudia tena anaekupenda ni wewe. Wengine wote waliosalia wanapenda Thamani yako ( Value). Value ndio itakupa maisha na kuwa treated unavyotaka wewe. Ulichopaswa kufanya ni kuonesha value kiutendaji na sio maneno maneno. Kupitia value yako ungeshangaa unapewa hata mradi mwingine mkubwa kuliko huo unaouona wa kipumbavu.
Jifunze kuonesha Thamani yako kiutendaji. Hujawahi kuona watu wanajitolea ofisi mbalimbali Tena bure ??! Pale lengo Ni kuwapa nafasi watu waoneshe Value zao na baadae husjiriwa. Hakuna muajiri au mtu atakupa network kwa maneno yako ya huruma huruma, prove kwamba wewe ni wa thamani kubwa kiutendaji.
Kuna watu kupitia hizo kazi unazoziona za kijinga wamepata network za kazi either kupitia kwa wateja au mabosi. Mtu anafika hapo dukani anaona wewe ni wa Thamani and you deserve better anakupa kazi nyingine kubwa ila sio kwa maneno maneno tu na unavyojiona Bora.
Nilichojifunza bado una utoto mwingi, bado una akili za kichuo na ndoto za kipumbavu. Nakuhakikishia Kama usipobadirika hata ukipata kazi ya kuajiriwa nzuri hutadumu.