Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Wadau, nahitaji mahali pa kufanyia biashara ya mgahawa jijini Dar. Pawe sehemu ya kuandalia chakula (jiko), sehemu ya kulia chakula pamoja na maliwato. Mwenye taarifa aniPM tafadhali.
uko sawa kwa hilo,Wadau, nahitaji mahali pa kufanyia biashara ya mgahawa jijini Dar. Pawe sehemu ya kuandalia chakula (jiko), sehemu ya kulia chakula pamoja na maliwato. Mwenye taarifa aniPM tafadhali.