pipi mti
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 764
- 513
Habari wakuu.
Naomba msaada kutoka kwa mtu yeyote ambaye ni mwenyeji wa Mtwara, anayeweza kunisaidia kupata eneo zuri kwaajili ya biashara ya bucha, saloon, glocery pamoja na video library.
Nimehamishiwa huku kikazi hivyo nalazimika kuhamishia huku biashara zangu ndogo ndogo nilizokua nikijishughulishanazo mkoa niliotoka.
Nitatoa kifuta jasho kwa atakayenisaidia kufanikisha zoezi hili.
Asante.
#mods naomba msaada wa kuedit heading. "Kwaajili ya" na sio "ya kwaajili ya".
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba msaada kutoka kwa mtu yeyote ambaye ni mwenyeji wa Mtwara, anayeweza kunisaidia kupata eneo zuri kwaajili ya biashara ya bucha, saloon, glocery pamoja na video library.
Nimehamishiwa huku kikazi hivyo nalazimika kuhamishia huku biashara zangu ndogo ndogo nilizokua nikijishughulishanazo mkoa niliotoka.
Nitatoa kifuta jasho kwa atakayenisaidia kufanikisha zoezi hili.
Asante.
#mods naomba msaada wa kuedit heading. "Kwaajili ya" na sio "ya kwaajili ya".
Sent using Jamii Forums mobile app