hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Hahaaa sioi huko aisekabisa mkuu mm nilibaki nashangaa isee.. Tena wanawawekea mitego kabisa ya kuwanasa... Wazanzibari achana nao kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa sioi huko aisekabisa mkuu mm nilibaki nashangaa isee.. Tena wanawawekea mitego kabisa ya kuwanasa... Wazanzibari achana nao kabisa.
Wakuu
Hivi nchi nzima na kubwa namna hii hakuna mkoa au sehemu ninapoweza kupata nyama choma ya mamba au nyama choma ya kenge?
Hao wanyama ni watamu sana hata kuku haoni ndani kwa utamu wake kwanza ni nyama laini halafu ni white meat.
Wakuu
Hivi nchi nzima na kubwa namna hii hakuna mkoa au sehemu ninapoweza kupata nyama choma ya mamba au nyama choma ya kenge?
Hao wanyama ni watamu sana hata kuku haoni ndani kwa utamu wake kwanza ni nyama laini halafu ni white meat.
Lakini sijui walimchinjaje? Maana kumshika ni suala moja, lakini kumchinja ili awe halali kwa mlo wa wakazi wa huko ni shughuli nzito!Hayo mambo utayapata huko visiwani zenji isee nilikuwa huko last year kunamahali kulikuwa na kidibwi kenge akarogwa kuingia humo niliona njemba tatu zina mkimbiza vibaya mno nikabaki mdomo wazi nn hawa watu wanafanya!
Yaani funga na kufumbua yule kenge ameshadakwa jamaa waka mchuna ngozi na kumpika supu mm naona isee wakanunua na mikate yao ya boflo inaitwa wanasema hakuna nyama tamu km hii mm nilishidwa kula kwanza nawaogopa hao wadudu.
Kazi ni hiari, lakini kula ni lazima!FANYENI KAZI
Are you serious? Siku nitajitafnya kama najikuna niulizie ...Kwa Dar najua kule Brazilian grill au Rodizio utapata mamba choma. Ni tamu kwa kweli
Ikipatikana gisi roast mnitagNjoo Msata.Kuna mpaka Makange ya kenge
MkuuWakuu
Hivi nchi nzima na kubwa namna hii hakuna mkoa au sehemu ninapoweza kupata nyama choma ya mamba au nyama choma ya kenge?
Hao wanyama ni watamu sana hata kuku haoni ndani kwa utamu wake kwanza ni nyama laini halafu ni white meat.