Hayo mambo utayapata huko visiwani zenji isee nilikuwa huko last year kunamahali kulikuwa na kidibwi kenge akarogwa kuingia humo niliona njemba tatu zina mkimbiza vibaya mno nikabaki mdomo wazi nn hawa watu wanafanya!Wakuu
Hivi nchi nzima na kubwa namna hii hakuna mkoa au sehem napoweza kupata nyama choma ya mamba au nyama choma ya kenge?
Hao wanyama ni watam sana hata kuku haioni ndani kwa utamu wake kwanza ni nyama laini halafu ni white meat.
Bagamoyo niliwahi kusikia kuna mzungu anafuga na kuuza nyama ya mamba tena ana kibali cha serikali
Huku Mwanza mamba na kenge wapo wengi sana...ni juhudi yako tu ya kuwakamata... njoo ufungue fursa utatufundisha taratibu namna ya kuwala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hao wapo Sinza hapomi pia natafta mahali wanapouza paka choma aisee ile nyama ni laini hatari
Mkuu like seriously ,!!!!?Hayo mambo utayapata huko visiwani zenji isee nilikuwa huko last year kunamahali kulikuwa na kidibwi kenge akarogwa kuingia humo niliona njemba tatu zina mkimbiza vibaya mno nikabaki mdomo wazi nn hawa watu wanafanya!
Yaani funga na kufumbua yule kenge ameshadakwa jamaa waka mchuna ngozi na kumpika supu mm naona isee wakanunua na mikate yao ya boflo inaitwa wanasema hakuna nyama tamu km hii mm nilishidwa kula kwanza nawaogopa hao wadudu.
Spy....Wakuu
Hivi nchi nzima na kubwa namna hii hakuna mkoa au sehem napoweza kupata nyama choma ya mamba au nyama choma ya kenge?
Hao wanyama ni watam sana hata kuku haioni ndani kwa utamu wake kwanza ni nyama laini halafu ni white meat.
kabisa kwa macho yangu nimeshuhudia toka anakamatwa anachunwa ngozi na kuliwa hapahapa tanzania visiwan hapo.. Tena ana nyama kweli kenge kama ya samaki nyeupe..
Duhh !!! Kweli tembea uonekabisa kwa macho yangu nimeshuhudia toka anakamatwa anachunwa ngozi na kuliwa hapahapa tanzania visiwan hapo.. Tena anachama kweli kenge kama ya samaki nyeupe..
kabisa mkuu mm nilibaki nashangaa isee.. Tena wanawawekea mitego kabisa ya kuwanasa... Wazanzibari achana nao kabisa.