Miss liquid
Member
- Apr 25, 2019
- 24
- 14
Hello, niliomba nafas ya kusoma masters katika chuo fulani apa Tanzania, nimebahatika kupata nafasi
Swali langu ni Je naweza kuomba sponsership kwenye shirika lolote au ni lazima kusubir zile zinazotangazwa na chuo husika??
Wasiwasi wangu ni je ukisubir alafu ukakosa?? Si nitakua nepoteza nafas ya kusoma mwaka ujao 2020 ?
Naombeni ushauri na maelekezo mengine kama yapo
Pia kwa anaefahau watu/mashirika yanayotoa sponserships hapa Tanzania /nje ya Tz .
Asanteni.
Swali langu ni Je naweza kuomba sponsership kwenye shirika lolote au ni lazima kusubir zile zinazotangazwa na chuo husika??
Wasiwasi wangu ni je ukisubir alafu ukakosa?? Si nitakua nepoteza nafas ya kusoma mwaka ujao 2020 ?
Naombeni ushauri na maelekezo mengine kama yapo
Pia kwa anaefahau watu/mashirika yanayotoa sponserships hapa Tanzania /nje ya Tz .
Asanteni.