Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,621
Inaonekana wewe ndie una matatizo ndio maana hata unawaza namna ya kumuacha huyo mwenzako.
Tabia mbaya huwa huwa haijifichi..... Hata ufanyaje watu watajua.... Sasa kama watu wa pembeni hawana shida nae basi ni wewe ndio utakuwa na shida hebu jikague.....
Maana hata huu uzi tu umekaa kindezi unaonekana hajielewi kiakili ....
Tabia mbaya huwa huwa haijifichi..... Hata ufanyaje watu watajua.... Sasa kama watu wa pembeni hawana shida nae basi ni wewe ndio utakuwa na shida hebu jikague.....
Maana hata huu uzi tu umekaa kindezi unaonekana hajielewi kiakili ....