Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,712
Wakuu
Nina kiwanja changu, nilinunua kwa kujibana sana, kina ukubwa wa 20 kwa 20.
Sasa nimepanga kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha, maana nimechoka na kero za kupanga.
Sasa napenda room yangu iwe hivi.
Iwe ni master ambayo, ina dinning, kitchen na sitting room.
Ila madirisha napenda yawe makubwa na yawe yameshuka chini kama kozi 4 hivi kutokea kwenye msingi.
Sijui kama nimepatia kueleza kwa kitu ninacho kihitaji, wataalam watanielewa.
Nichek PM.
Nina kiwanja changu, nilinunua kwa kujibana sana, kina ukubwa wa 20 kwa 20.
Sasa nimepanga kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha, maana nimechoka na kero za kupanga.
Sasa napenda room yangu iwe hivi.
Iwe ni master ambayo, ina dinning, kitchen na sitting room.
Ila madirisha napenda yawe makubwa na yawe yameshuka chini kama kozi 4 hivi kutokea kwenye msingi.
Sijui kama nimepatia kueleza kwa kitu ninacho kihitaji, wataalam watanielewa.
Nichek PM.