Mimi ni Mswahili mzaliwa wa Bongo. Naomba kujitokeza kwa mara ya kwanza katika Forum yetu adhimu kutafuta rafiki wa kawaida. Sibagui dini wala kabila.
Sifa za rafiki anayetakiwa.
Awe mpenda kiswahili.
Awe mhalisi na mpenda ukweli.
Awe mpenda nchi yetu lakini asiwe kama Ngwangwa ak.a Mtikila .
Awe anaongozwa na msimamo wake ambao anaamini ni sahihi lakini mwenye uwezo wa kukubali ukweli.
Wenye dhamira ya dhati wanakaribishwa. Waweza kunipata kupitia chiefmtz@jamiiforums.com
Sifa za rafiki anayetakiwa.
Awe mpenda kiswahili.
Awe mhalisi na mpenda ukweli.
Awe mpenda nchi yetu lakini asiwe kama Ngwangwa ak.a Mtikila .
Awe anaongozwa na msimamo wake ambao anaamini ni sahihi lakini mwenye uwezo wa kukubali ukweli.
Wenye dhamira ya dhati wanakaribishwa. Waweza kunipata kupitia chiefmtz@jamiiforums.com