Natafuta rafiki wa kike

Babamchafu

New Member
Oct 18, 2020
1
2
Habari wanajamvi, naitwa ***, jinsia ya kiume na mkazi wa Arusha mjini, lengo la thread hii ni kama inavyojieleza (natafuta rafiki wa jinsia ya kike) kwa lengo la kubadlshana mawazo na connections mbalimbali

Umri wowote

Kabila lolote

My CV
. Kwa sasa ni mwanachuo ninayetegemea kumaliza ivi karibuni
. Nachukua Bachelor Degree in ICT Engineering
.Mrefu wa wastani and brown in color
. Non talkative man

NOTE: Rafiki awe serious kwa urafiki TU!

Nawasilisha

Kama upo tayali ni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom