RAFIKI
Habari humu ndani.

Nisiwe msemaji sana ukizingatia sio mwanasiasa.

Natafuta rafiki wa kiume.

Kwauchache nina upenzi na vitu kama ifuatavyo.

Vitabu ( Novels- laws, espionage, non-fiction, science fiction)

Meditation, Jogging, Gardening, Fosbury flops, Skiing, Travel and swimming.

Strictly man friend not otherwise.

Waiting for response.

PS: My gender is MALE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari humu ndani.

Nisiwe msemaji sana ukizingatia sio mwanasiasa.

Natafuta rafiki wa kiume.

Kwauchache nina upenzi na vitu kama ifuatavyo.

Vitabu ( Novels- laws, espionage, non-fiction, science fiction)

Meditation, Jogging, Gardening, Fosbury flops, Skiing, Travel and swimming.

Strictly man friend not otherwise.

Waiting for response.

PS: My gender is MALE.
Haya bwana
 
Hello JF members, natafuta Rafiki wa kike ambae tunaweza kuyajenga (maisha)
Mwenye sifa hizi;
-Awe na nidhamu mwenye kujielewa
-Awe Mkristo itapendeza zaidi Mkatoliki
-Umri 20 - 26
-Ambaye yuko huru, na pia sio muoga wa kutembea mkoa wowote ule
-Anae jua kutafuta, tutafute wote
- Elimu kuanzia kidato Cha nne
-Awe mtu makini na maisha

Kwa aliye tayari anichek PM/ DM

NB: serious issue not Joke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wenu akili bado hazijatulia
😲
Mi mbona nimetulia sina makuu!
Kuna sababu zenu hiki ni kisingizio..

Hivyo kama hatujatulia kwenye 20 unafikiri kwenye 30 ndo tutatulia..? Au mmesahau usemi jasiri haachi asili😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom