Dogo GSM
Member
- Jul 31, 2021
- 65
- 91
Hallooo hodi humu ulimwenguni..mimi ni mfuatliaji wa jf kitambo almost miaka mitano nyuma ila kutokana na ubize na kutokuwa na mood ya kuexist kipindi hicho now nimeamua kujiregister kabisa mazima.
Bila kupoteza muda post yangu ya kwanza inaanza na lengo langu la msingi tuu. Mimi nahitaji rafiki wa kike au msichana ambaye tutajenga mahusiano ambapo Mungu akipenda tutaoana.Ninaishi iringa ambako ndiko nipo kikazi hukuu.kwa maelezo zaidi unaweza kunipm ili tuone kama tutaweza kuelewana na kujuana zaidi.
NB:nahitaji msichana si mwanamke.picha ni kwaajili ya ID ya jf tu.
Bila kupoteza muda post yangu ya kwanza inaanza na lengo langu la msingi tuu. Mimi nahitaji rafiki wa kike au msichana ambaye tutajenga mahusiano ambapo Mungu akipenda tutaoana.Ninaishi iringa ambako ndiko nipo kikazi hukuu.kwa maelezo zaidi unaweza kunipm ili tuone kama tutaweza kuelewana na kujuana zaidi.
NB:nahitaji msichana si mwanamke.picha ni kwaajili ya ID ya jf tu.