Ameandika mapema jamaniPale unapojiunga fasta na kwenda straight kutafuta mwenza, tena usiku wa manane afu hueleweki unatafuta jinsia ganii aisee.
Lazima wakunyooshe Uncle Rubeya.
Ni kama wale wazee wanaojiingiza kwenye challenge za Instagram jamani. Kuna mmoja anamuiga yule MC Mboneke wa Irudiwe Irudiwe sijui kama mzima yule khaaaa.Ameandika maoema jamani
Wengine makazi yao ni fb wakija huku ni mwendo wa kuaibika tu
Yule mzee ni bumunda sanaNi kama wale wazee wanaojiingiza kwenye challenge za Instagram jamani. Kuna mmoja anamuiga yule MC Mboneke wa Irudiwe Irudiwe sijui kama mzima yule khaaaa.
Unabaki unaona aibu wewe mwenyewe.
Jf sio ya kila mkuu KeruceeNi kama wale wazee wanaojiingiza kwenye challenge za Instagram jamani. Kuna mmoja anamuiga yule MC Mboneke wa Irudiwe Irudiwe sijui kama mzima yule khaaaa.
Unabaki unaona aibu wewe mwenyewe.
Dah. Kuna moja aliongelea kuzama chumvini bado naona aibu aisee.Yule mzee ni bumunda sana
Yupi, yule amekaa ka chotara flani na yuko smart lakini anaongea mashudu?Dah. Kuna moja aliongelea kuzama chumvini bado naona aibu aisee.
Leo ndo nimeconclude ni mwehu yule.
Subutu. Wewe unaongelea wale gusagusa band nadhani ni Mzee wao manake you affiliated na muchacho ama achunis. Huyo pia anazingua but sio huyo naemuongelea.Yupi, yule amekaa ka chotara flani na yuko smart lakini anaongea mashudu?
Subutu. Wewe unaongelea wale gusagusa band nadhani ni Mzee wao manake you affiliated na muchacho ama achunis. Huyo pia anazingua but sio huyo naemuongelea.
Huyu ni Mzee flani mrefu sijui kama sio mlinzi manake anazunguka nyumba huku anaongea pumba.
Mara nyingine watu wamekazwa na maisha so wanalipuka hovyoSubutu. Wewe unaongelea wale gusagusa band nadhani ni Mzee wao manake you affiliated na muchacho ama achunis. Huyo pia anazingua but sio huyo naemuongelea.
Huyu ni Mzee flani mrefu sijui kama sio mlinzi manake anazunguka nyumba huku anaongea pumba.
Huyo mzee wa kichotara nilimshangaa aisee.Mara nyingine watu wamekazwa na maisha so wanalipuka hovyo
Aah hamna bana na sidhani kama wapo serious 😂Acha basi bhana, hivi unafikiri watu hawa kuelewi wewe?
Wengine tuna penda mwanamke mjanja mjanja kiaiana