NimefikaSuala la mtoto tuliache, je na kuolewa imekuaje hujaolewa
Sijawahi kutafuta kimwanaTunapima ngoma kabisa au vp mbio haziruhusiwi
Mi nina miaka 26 natafuta mke, nina degree ya sheria na advanced diploma ya legal practice ila sina kazi.
Mimi ni Dogo Janja tu Nina miaka 11...sasa wew una miaka 40
Le mutuzNimwanaume yupi miaka 40 ambaye bado hana mke
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Nipo wazi uko wapi nije
Mimi najitolea nafasi ya BeniTeni ukiondoa kigezo cha umriMimi ni mwanamke mwenye miaka 40 sijawahi kuolewa wala kuzaa.
Natafuta mwanaume ambae tayari ana watoto ila sio mume wa mtu tutasaidiana kulea awe na miaka kuanzia 40.
Najitegemea nina kwangu na nasaidia ndugu zangu wasiojiweza kulea watoto wao.
Wenye maswali na comments za kejeli mnakaribishwa pia.
Asanteni.
Rafiki ambaye baadaye atakuwa mume.Unataka mume au Rafiki???
Unacho shangaa ni nini?! Anaweza hado akazaa. Mungu ndio mtoaji.Miaka 40 hauna mtoto kulikoni???