2-Alpha Over
Senior Member
- Jun 8, 2021
- 122
- 126
Habari za muda huu wakuu, naomba Kama bango linavyojieleza hapo juu natafuta professional IT aliyeko Dsm tuwasiliane Kuna kazi nimpatie ya kufanya malipo negotiable hakuna tatzo kulingana na ukubwa wa kazi bila Shaka nitegemee kupata.
Kama upo huku dsm naomba Pm Then tuone kazi tunafanyaje hasa mwenye ujuzi wa program ya WHITE HAT HACKING.. IT mnaelewa vzr bila Shaka nikisema hivo.
Asanteni. Hope this thread finds you all in Time.
Kama upo huku dsm naomba Pm Then tuone kazi tunafanyaje hasa mwenye ujuzi wa program ya WHITE HAT HACKING.. IT mnaelewa vzr bila Shaka nikisema hivo.
Asanteni. Hope this thread finds you all in Time.