Salaam wana Jamii.
Tafadhali natafuta mtaalamu wa kutengeneza matangazo kwa bei nafuu. Tafadhali kupata hii kazi lazima uwe na kazi zako ambazo zinaonekana pia unatakiwa kuwa na ujuzi wa juu kwenye adobe photoshop na adobe illustrator.
Asanten
nipm mkuu