Mzolewa
Member
- Dec 15, 2016
- 35
- 8
Ni muda sasa natumia pasi aina tofauti lakini hazidumu, zimekuwa zinaharibika au kuungua sana.
Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye kujua aina nzuri ya pasi na ikiwezekana na bei yake anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app