Natafuta partner tufanye biashara ya zao la ufuta

konabar

Member
Apr 18, 2018
25
19
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.

Naishi Rufiji Bungu, ni eneo linalo jishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. Kipindi hiki nikipindi ambacho ufuta unavunwa kwa hiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo

Na serikali inatarajia kununua kwa 3500 kwa kilo. nakaribisha mtu yeyote mwenye cash nakutaka kutengeneza faida ya 1500 kwenye kila 2000/=. na prefer kwa waliokaribu hasa maeneo ya Dar.

Ili uweze kuona nini kina nunuliwa at list kila week na kuepusha lawama nakukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida......kwa yeyote atakae pendezewa anicheki inbox. kuna watu tumezungukwa na fulsa lakin hatuna mtaji na kuna watu mnamitaji lakn amna fulsa au mnabanwa na kazi za kuajiliwa tushirikiane kujikwamua kiuchumi amina
 
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. naishi rufiji bungu, ni eneo linalo jishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki nikipindi ambacho ufuta unavunwa kwahiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo na serikali inatarajia kununua kwa 3500 kwa kilo. nakaribisha mtu yeyote mwenye cash nakutaka kutengeneza faida ya 1500 kwenye kila 2000/=. na prefer kwa waliokaribu hasa maeneo ya dar. ili uweze kuona nini kina nunuliwa at list kila week na kuepusha lawama nakukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida......kwa yeyote atakae pendezewa anicheki inbox. kuna watu tumezungukwa na fulsa lakin hatuna mtaji na kuna watu mnamitaji lakn amna fulsa au mnabanwa na kazi za kuajiliwa tushirikiane kujikwamua kiuchumi amina
Mkuu Kama unataka kugombana na kuongeza maadui.yaani unataka kumshawishi mtu kuamini serikali itanunua hizo Mambo kwa Bei uliyoandika..aisee Ni Bora Kama Kuna soko au mnunuzi wa kuaminika
 
Zao la ufuta halijawai sumbua katka soko. wanunuzi wakubwa ni wahindi lakini serikali ina simamia tu. inatarajiwa kuanza manunuzi juni 11
 
Wanao take risk ndio wanao pata faida.jaribu kuuliza kwa watu mbali mbali juu ya zao hili naq soko lake
 
Kuna kijiji fulani nipo, ufuta Kilo unauzwa 2,750 ninapoongea ni masemi yanapishana tuuu, gunia linaenda mpaka 240,000 na watu wa maghala wanakuja kuchukulia shambani

Wasukuma hawa wanatesa na pesa zao sahivi

Heka 1 inatoa gunia 4_7
 
Wanauza kwa bei kubwa sana.
Kuna kijiji fulani nipo, ufuta Kilo unauzwa 2,750 ninapoongea ni masemi yanapishana tuuu, gunia linaenda mpaka 240,000 na watu wa maghala wanakuja kuchukulia shambani

Wasukuma hawa wanatesa na pesa zao sahivi

Heka 1 inatoa gunia 4_7
 
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. naishi rufiji bungu, ni eneo linalo jishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki nikipindi ambacho ufuta unavunwa kwahiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo na serikali inatarajia kununua kwa 3500 kwa kilo. nakaribisha mtu yeyote mwenye cash nakutaka kutengeneza faida ya 1500 kwenye kila 2000/=. na prefer kwa waliokaribu hasa maeneo ya dar. ili uweze kuona nini kina nunuliwa at list kila week na kuepusha lawama nakukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida......kwa yeyote atakae pendezewa anicheki inbox. kuna watu tumezungukwa na fulsa lakin hatuna mtaji na kuna watu mnamitaji lakn amna fulsa au mnabanwa na kazi za kuajiliwa tushirikiane kujikwamua kiuchumi amina
Hao wakulima wa huko nao sio Wajinga kama serikali au kuna uwezekano wa bei kupanda nao wanalifahamu hilo.Ila kuna kitu kinaitwa njaa katika kilimo.Hao wakulima wanaouza kwa bei ya sasa ni kwamba wanahitaji au wanashida ya hela kwa wakati wa sasa na hawawezi kusubiri zaidi ili bei ipande.

Ni kweli kwamba kwa taarifa nilizonazo ukanda huo mpaka Lindi bei hya vichochoroni ndiyo hiyo kwa sasa.Ila wengi ni wanaishi kwa imani kwamba bei inauwezekano mkubwa wa kupanda.Wakulima wengi wanasubiri bei ipande kwa imani kwamba wasije jilaumu yaani mfano,MTU unauza leo Tsh 2,000/- halafu wiki tu unasikia bei imepanda mpaka 3,600/-

Kuna jamaa yangu yupo hapo Bungu naye ni mmojawapo anao ufuta wa kutosha tu, anachukua data za masoko mbalimbali nchini na kufanya tathmini.

Hivyo,unapotoa guarantee ya faida kwa kola 2,000 ya uwekezaji uwe makini usitoe garantee kubwa sana kwa kutegemea bei ya sasa.Unatakiwa uforesee pia bei kupanda au kushuka kwa kuangalia viashiria vingine vya soko.
 
Huku Nanjilinji wakulima wanauza kwa 2000, ila mnada umepigwa Jana tarehe 8/6/2019.. Bei 3100. Kwa kg
 
Hao wakulima wa huko nao sio Wajinga kama serikali au kuna uwezekano wa bei kupanda nao wanalifahamu hilo.Ila kuna kitu kinaitwa njaa katika kilimo.Hao wakulima wanaouza kwa bei ya sasa ni kwamba wanahitaji au wanashida ya hela kwa wakati wa sasa na hawawezi kusubiri zaidi ili bei ipande.Ni kweli kwamba kwa taarifa nilizonazo ukanda huo mpaka Lindi bei hya vichochoroni ndiyo hiyo kwa sasa.Ila wengi ni wanaishi kwa imani kwamba bei inauwezekano mkubwa wa kupanda.Wakulima wengi wanasubiri bei ipande kwa imani kwamba wasije jilaumu yaani mfano,MTU unauza leo Tsh 2,000/- halafu wiki tu unasikia bei imepanda mpaka 3,600/-

Kuna jamaa yangu yupo hapo Bungu naye ni mmojawapo anao ufuta wa kutosha tu, anachukua data za masoko mbalimbali nchini na kufanya tathmini.

Hivyo,unapotoa guarantee ya faida kwa kola 2,000 ya uwekezaji uwe makini usitoe garantee kubwa sana kwa kutegemea bei ya sasa.Unatakiwa uforesee pia bei kupanda au kushuka kwa kuangalia viashiria vingine vya soko.
Tanx kwa taarfa mkuu ila bei inyo trend kwa sasa ni 3000 na kuendelea
 
kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. naishi rufiji bungu, ni eneo linalo jishughulisha sana na shughuli za kilimo hasa mihogo, ufuta na korosho. kipindi hiki nikipindi ambacho ufuta unavunwa kwahiyo wakulima wanauza ufuta kwa watu wenye mitaji kwa tsh 2000/= kwa kilo na serikali inatarajia kununua kwa 3500 kwa kilo. nakaribisha mtu yeyote mwenye cash nakutaka kutengeneza faida ya 1500 kwenye kila 2000/=. na prefer kwa waliokaribu hasa maeneo ya dar. ili uweze kuona nini kina nunuliwa at list kila week na kuepusha lawama nakukiona kinachonunuliwa bila kusahau lile zao jingine la mwezi wa 9 tunaweza shirikiana na kuliuza bila shida......kwa yeyote atakae pendezewa anicheki inbox. kuna watu tumezungukwa na fulsa lakin hatuna mtaji na kuna watu mnamitaji lakn amna fulsa au mnabanwa na kazi za kuajiliwa tushirikiane kujikwamua kiuchumi amina
Nitafute kwa whasp hiii mkuu 0678260389
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom