Je una nyumba Dar ambayo ni fully furnished yenye at least two bedrooms na hutakuwa ukiitumia katika mwezi wa october? Isiwe mbali sana na town centre na iwe na car park. Inahitajika kwa ajili ya wageni watakaotoka Europe na kukaa hapo kwa at least mwezi mzima and possibly longer. Nitumie PM ukiwa na details za location, size and most important rent unayotaka ili nikupe deal la nguvu.
Wakudata.
Wakudata.